Lesson 23

Buying and Selling [ununuzi na uuzaji]

A). Buying and Selling

bei [price]

ghali [expensive]


rahisi [cheap]


bei nafuu [fair price]


haipungui [does not reduce]


hakuna faida/maslahi [there is no profit]


ninataka [I want]


shilingi [shillings]


dola [dollars]


mwuzaji [shopkeeper]


mteja [customer]


Twende! [Let's go!]


pesa, hela [money]


Ghali sana! [Too expensive!]


Bei ghali! [The price is too high!]


punguza kidogo [reduce a little]


ongeza kidogo [add a little more]


bei rahisi sana! [very cheap price!]


Jamani, Mungu wangu! [Oh my god!]


Hapana! Tafadhali punguza bei! [No! Please reduce the price!]


Haiwezekani! [Utterly impossible!]


Acha bwana/mama! [Stop it, don't be ridiculous, sir/madam!]

Zingatia [Note]
leta
nipe
nunua
ninataka
punguza
mteja
haipungui
[bring]
[give me]
[buy]
[I want]
[reduce/lower]
[customer]
[does not reduce/lower]

Mazungumzo [dialogue]
Talking with a friend and going to do shopping of various items. 

Halima: Hujambo Halima? 

Anna: Sijambo.Habari za asubuhi? 

Halima: Salama tu, nyumbani hawajambo?

Anna: Hawajambo. 
 
Halima: Leo, unakwenda sokoni kununua nini?

Anna: Ninakwenda kununua vitu vingi leo. Nitanunua matunda mbalimbali kamamaembe, mapapai, na machungwa. Wewe utanunua nini?

Halima: Mimi nitanunua vinywaji vichache sana kama: soda, pombe, maji ya machungwa, na divai. Pia nitanunua vifaa vya shule.

 Anna: Haya, twende dukani sasa!

*At the shop/store*

 Mwuzaji : Karibu! Karibu! 

Anna na Halima: Asante.
  
Mwuzaji: Habari za mchana? 

Anna na Halima: Salama sana.
  
Anna: Daftari hili bei gani?
 
Mwuzaji: Shilingi ishirini.
  
Anna: Na kitabu bei gani? 

Mwuzaji: Shilingi kumi na tisa. 

Anna: Vipi, bei haipungui? Bei ghali sana!
  
Mwuzaji: Haipungui. Bei ni rahisi sana/hakuna maslahi/faida. 

Anna: Ninataka madaftari saba.Mwuzaji: Vipi, hutaki kitabu?

  
Anna: Hapana. Leo sina pesa nyingi/sina pesa za kutosha. 

Mwuzaji: Asante.Anna: Kalamu bei gani? 

Mwuzaji: Shilingi kumi. 

Anna: Na rula bei gani?
  
Mwuzaji: Shilingi ishirini na tano.

Anna: Vipi, bei haipungui? Bei ghali sana.

Mwuzaji: Haipungui. Bei ni rahisi/hakuna maslahi/faida.


Anna: Nipe kalamu tatu na rula nne.


Mwuzaji: Sawa. Na wewe je?


Halima: (You can continue the same dialogue with Halima buying fruits, drinks,spices, foods, school items, etc.).


Anna na Halima: Kwaheri.


Mwuzaji: Kwaheri. Tutaonana baadaye.
 

No comments:

Post a Comment